UNDERTAKER
Kama
wewe utakuwa ni
mfuatiliaji mzuri wa mieleka ,Jina Undertaker
Halitakuwa geni masikioni mwako,kwani mmoja kati ya wachezaji tishio
katika industry ya Mieleka ,(wrestling)
 |
| Undetaker anavyokuja |
Kutokana na ujio wake Ulingoni mara Taa huzimika ghafla, zinapowashwa mara mtu yuko ndani ya Ulingo simchezo,sifa yake kubwa Huwa si muongeaji bali ni mtu wa Vitendo,amekuwa akifanya vizuri karibu Mapambano yake yote.
 |
Mara Undertaker Ulingoni
Undertaker
ni nani basi.(Ni mchezaji Mieleka wa kimarekani)na hilo ni jina lake bandia la(ulingoni)
|
 |
| Undertaker kono la Chuma |
Undertaker jina lake halisi ni Mark Wiliam Calaway.kazaliwa 24
march 1965 Houston ,Texas Inchini Marekani.
Wazazi wake Baba ni bwana Frank Compton Calaway,na mama ni Betty Truby
Catherine.
Elimu yake ya secondary kaipatia katika shule ya secondary Waltrip High
school ambapo huko alikuwa member katika timu ya mpira wa rugby(america football)na
Basketball.
 |
| Undertaker akicheza Basketball akiwa high school mwenye namba 33 kifuani kushoto. |
Ila alifanikiwa kugraduate 1983 na kisha kujiunga na chuo cha Angelina college,katika
mji wa Lufkin
texas on basketball scholarship.
Mwaka 1985 alisajiriwa kwenye chuo cha Texas Wesleyan University ndani ya mji wa Fort Worth miongoni mwa miji mikubwa katika jimbo la Texas akichezea timu ya basketball,alikuwa
mtu muhimu kwenye sport management, Alicheza
nafasi ya kati kama mtu mwenye nguvu ,mrefu
na mwenye uzito kamili Big man ni mtu
muhimu mwenye sifa kati ya moja ya nafasi tano muhimu kwenye mchezo wa basketball toka mwaka 1985 mpaka 1986.
 |
| Undertaker in Basketball team. |
Ila ilipofika mwaka 1986 Undertaker aliachana na chuo na kujikita zaidi kwenye michezo ,Ukweli alipenda sana kuwa profession
basketball(mchezaji basketball) huko uraya ,kabla hajamua na kubadili fikra zake na kujikita katika mchezo wa mieleka(professional wrestling) mwalimu wake wa mieleka alikuwa ni Don Jardine.
KATIKA
MICHEZO YA MIELEKA
 |
| Undertaker kulia na Cane kushoto.. |
 |
| Billionea Dolnad Trump Rais wa Marekani kwa sasa kwenye Mieleka wakimnyoa Jamaa Nywere kwa nguvu akiwa kashikwa na mabaunza.wakwanza toka kushoto aliyeshika mashine na Tai Nyekundu.Kabla ya Hajawa Rais. |
- USHABIKI
NA MARAFIKI VIPENZI
- Ingawaje ni mchezaji mzuri wa mieleka hata hivyo pia ni mshabiki mkubwa wa, boxer .
 |
| UNDERTAKER Jamaa alivaa kiremba AKIHOJIWA KWENYE PAMBANO KATI YA PACQUAIO VS VELAZQUEZ |
 |
Kulia Pacqiuao na Valazquez kushoto
kuna wakati aliwahi,kuonekana akiwa kabeba bendera ya
Marekani akiongozana na mashabiki wa Pacquiao |
 |
PACQIUAO MWENYE KAPTULA NYEKUNDU NA VALAZQUEZ ALIYEPIGA MAGOTI CHINI,
wakielekea ulingoni kwenye mechi kati ya Pacquiao na Velazquez mwaka 2005.Na pia alionekana akifuatilia kwenye pambano kati ya
Lennox Lewis na Mike Tyson mwaka 2002. |
 |
MIKE TYSON KULIA NA LENOX LEWIS KUSHOTO
rafiki zake wa karibu ni pamoja Mwigizaji Tony
Longo ,na amendelea kuwa karibu na marafiki hao wachezaji wa mixed martial
artist
|
 |
TONY LONG UNDERTAKER FRIEND

(wachezaji wenye kuchanganya karate na mapigo mengine) Pat
Miletich,Jeremy Horn na Matt Hughes. |
WATOTO
NA WAKE ZA UNDERTAKER
Undetaker keshaoa mara tatu na kuacha mara mbili . Toka mwaka 1989 mpaka mwaka 2010.
Mwaka
1989 Undertaker alimuoa mcheza mieleka mwenzake bibie Jodi Lynn,na ndiye alikuwa mke wa kwanza walibahatika kupata mtoto mmoja.
 |
| GUNNER VICENT CALAWAY |
Gunner Vicent Calaway kazaliwa mwaka 1993.Ila ilipofika mwaka 1999 wawili hao walitengana(waliachana)
Mwaka 21 july mwaka 2000
ndipo alipofunga ndoa na mke wake wapili Sara
Calaway katika kanisa la St.Petersburg huko Frlida Inchini Marekani.
 |
| UNDERTAKE SIKU YA NDOA NA SARA CALAWAY |
Sara Calaway pia alikuwa
ni mchezaji wa mieleka,
 |
| GRACIE CALAWAY MTOTO WA UNDERTAKER |
 |
| CHASEY CALAWAY MTOTO WAPILI WA UNDERTAKER |
Walibahatika kupata watoto wawili wa kike,Chasey Calaway
kazaliwa (21 November 2002).na Gracie Calaway
kazaliwa (15 may 2005).Hata hivyo naye hakudumu hatimaye
ndoa yao ikavunjika mwaka 2007.
 |
| MICHELLE MC COOL |
Akaja kuwa na mahusiano ya kimapenzi nakuungana
na mchezaji wa mieleka wa zamani Michelle Mc cool
 |
| UNDERTAKER AKIFUNGA NDOA NA MKE WAKE WA TATU MICHELLE MC COOL |
na
hatimaye wakafunga ndoa 26 june 2010 katika mji wa Houstin Texas huko nchini marekani.Hata hivyo 29 august 2012
wawili hao wakabahatika kupata mtoto wa kike,na kumpatia jina Kaia Faith Calaway.
 |
| KAIA FAITHY MTOTO WA WANNE WA UNDERTAKER ALIYEBEBWA |
Na hivyo kutimiza idadi
ya watoto wanne wa Undertaker
wakiume mmoja na wakike watatu.
Mwandishi
wa Gazet la Telegraph Tom Fordy alimtaja Undertaker kuwa ni the world’s greatest sportsman,Na
vile vile mwaka 2015 Undertaker akawa
mchezaji mieleka wa kwanza Aliyesainiwa na kudumu ndani ya WWE Chini ya Brand ya SMACK
DOWN toka 1990 na kutanua taaluma
ya kazi yake kwa miaka 25 ndani ya kampuni hiyo.
Undertaker Ana kaka zake wanne David,Michael ,Paul,Timothy.
Undertake uzito wa kilo 140 na urefu wa futi 6.10 ambayo ni sawa na Mita 2.08. Majina ya Utani ya
Undertaker ni ,Texas Red,The Punisher na Master of Pain .
Inakadiriwa
kuwa Undertaker ana Utajiri wa Dola Milion 16.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni