Ijumaa, 18 Novemba 2016

SOMA HISTORIA ZA MASTAA TOKA MAREKANI KABLA YA KUWA MASTAA,FAMILIA ZAO,NA SASA NI MASTAA.HUWEZI AMINI WALIKOTOKA.

             


                              

                        UNDERTAKER 


   
   Kama wewe utakuwa ni
 mfuatiliaji mzuri wa mieleka ,Jina Undertaker Halitakuwa geni masikioni mwako,kwani mmoja kati ya wachezaji tishio katika  industry ya Mieleka ,(wrestling)


Undetaker anavyokuja
Kutokana na ujio wake Ulingoni mara Taa huzimika ghafla, zinapowashwa mara mtu yuko ndani ya Ulingo simchezo,sifa yake kubwa Huwa si muongeaji bali ni mtu wa Vitendo,amekuwa akifanya vizuri karibu Mapambano yake yote.


Mara Undertaker Ulingoni  

Undertaker ni nani basi.(Ni mchezaji Mieleka wa kimarekani)na hilo ni  jina lake bandia la(ulingoni)

Undertaker kono la Chuma

   Undertaker jina lake halisi ni Mark Wiliam Calaway.kazaliwa 24 march 1965 Houston ,Texas Inchini Marekani.
Wazazi wake Baba ni bwana Frank Compton Calaway,na mama ni Betty Truby Catherine.


   Elimu yake ya secondary kaipatia katika shule  ya secondary Waltrip High school ambapo huko alikuwa member katika timu ya mpira wa rugby(america football)na Basketball.
Undertaker akicheza Basketball akiwa high school mwenye namba 33 kifuani kushoto.
Ila alifanikiwa kugraduate 1983 na kisha kujiunga na chuo cha Angelina college,katika mji wa Lufkin texas on basketball scholarship.
  Mwaka 1985 alisajiriwa kwenye chuo cha Texas Wesleyan University ndani ya mji wa Fort Worth miongoni mwa miji mikubwa katika jimbo la Texas akichezea timu ya basketball,alikuwa mtu muhimu kwenye sport management, Alicheza  nafasi ya kati kama mtu mwenye nguvu ,mrefu na mwenye uzito kamili Big man ni mtu muhimu mwenye sifa kati ya moja ya nafasi tano muhimu kwenye mchezo wa basketball toka mwaka 1985 mpaka 1986.


Undertaker in Basketball team.

  Ila ilipofika mwaka 1986 Undertaker aliachana na chuo na kujikita zaidi kwenye michezo ,Ukweli alipenda  sana kuwa profession basketball(mchezaji basketball) huko uraya ,kabla hajamua na kubadili fikra zake  na kujikita katika mchezo wa mieleka(professional  wrestling) mwalimu wake wa mieleka alikuwa ni Don Jardine.

KATIKA MICHEZO YA MIELEKA


Undertaker kulia na Cane kushoto..
  Undertaker aliingia kwa mara ya kwanza ulingoni kwenye (WCCW)World Class Championship Wrestling)akitumia jina la  Texas Red, ila alipoteza mechi hiyo alipopambana na Bruiser Brody.hatimaye mwaka 1988 baada ya miaka minne ya Promotion,Alitoka huko na kujiunga na Coninental Wrestling Association,ambapo alikuja kuwa sehemu ya United Wrestling.
UNDERTAKER ALIYESIMAMA KWENYE HELL IN THE CAGE