Ijumaa, 11 Novemba 2016

TAZAMA ORODHA YA VYAKULA, WANYAMA AU WADUDU HUKUTEGEMEA KAMA WANALIWA NA BADHII YA BINADAMU,KUTOKANA NA TAMADUNI AU MILA ZAO.

Haya si maharage Bali ni viroba vya Nge'
hii biashara inayoingiza pesa,Ndio!
Amazing!!!!!
Inaposemwa tembea uone mengi laa! si maghorofa wala magari bali ni maajabu
fikiri pale unapotajiwa neno Nge' nini unachokufiri zaidi sana maumivu juu ya  mdudu huyu mwenye sumu anapokung'ta,Ila je unatambua kama wadudu hawa ni msosi mzuri tu .licha kuwa hung'ata na sumu yake wake huliwa kwa wenzetu wachina(zhong ren).bila shaka,najua utashangaa kweli Amazing!!!!!
hili ni moja ya migahawa ambayo imekuwa  ikuuza wadudu hawa kama,kisutua kinywa,katika miji kadhaa huko Bara Asia ya Beijing,Bangkong na kwingineko,kama tunavyokula Ngisi,ama pweza hapa Bongo.Amazing!!!!!
Mishikaki ya ng'e tayari kuliwa,ukitaka na pilipili,chumvi au ndimu ni juu yako,
Amazing!!!!
Mama huyu mchina akichagua mshikaki unaomfaa,'nipe huyo 
Mnene mweusi nionjee kama ni watamu.,nipakie ndimu na pilipili mbaliii.Mh! Amazing!!!!!!
haya ndio maeneo yetu ya kula bata! usione donge ,amazing!!!
karibu supu!amazing!!!
Kula tu,nitakuongeza miwili!amazing!!!!
Jamani hata mrembo huyu anapiga msosi huu  Amazing!!!.
Chinees people karibu hula kila kitu kinachotembea,kinachoruka na kinachotambaa,au kuogelea,isipokuwa Tren Gari ,Boti au meli.Amazing!!!


si maigizo haya ukitaka kujua ukweli nenda china utaona mengi.Amazing!!
iweje ufe na njaa wakati misosi kibao.mh! ila yataka moyo.Amazing!!
.halazimishwi mtu huko ukipenda jaribu ni pesa yako.eti hata huyu black naye anapiga supu safi kabisa.Amazing!!

acha niitafune mie.amazing!!!


Si wachina hata mataifa mengine hujaribu taste ya misosi hii.Amazing!!!





Viumbe hawa huliwa kwa namna tofauti kuna wa kubanika,kuna wanao kaushwa tu,kuna wanao kaangwa na hata wengine huliwa wangali wabichi,ni kutokana na wewe unavyopenda ,amazing!!!

Je kuna side effect pindi ulapo wadudu hawa au laa!,dont miss it next..
vipo vingi vinavyoliwa huko bara ASIA endelea  kutembelea blog.amazing!!!
  kweli kisichodili kwetu kwa wenzetu dili.kumbe biashara zipo nyingi.kama vipi tuchangamkie fursa hii,ila kama una moyo wa ujasiri.just do that.Usichokula wewe mwenzako msosi. hapo wabongo vipi mpoo!..!Amazing!!!!!!